Featured
Loading...

MCHENI MUNGU NA KUZISHIKA AMRI ZAKE

MCHENI MUNGU NA KUZISHIKA AMRI ZAKE

UTANGULIZI
“Dunia inaomboleza,inazimia,ulimwengu unadhoofika,unazimia,watu wakuu wa dunia wanadhoofika.tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa,kwa maana wameziasi sheria,wameibadili amri.wamelivunja agano la milele.Ndiyo sababu laana imeila dunia hii,na watu wanaoikaa wameonekana kuwa na hatia,ndiyo sababu watu wanaoikaa dunia wameteketea,watu waliosalia wakawa wachache tu” ISAYA 24:4-6
Mpendwa msomaji,tafakari sana aya hizi za utangulizi.
Unaweza kuungana na kile maandiko yanachoonyesha kuhusu hali halisi ya Dunia yetu hii leo.
Laana inaila dunia yetu hii leo kwa sababu zifuatazo
1.      “Wameziasi sheria”
2.      “Wameibadili amri”
3.      “wamelivunja agano la milele”
Hivyo katika waraka huu, mungu anahitaji kutuonyesha namna ya kuepukana na laana hiyo.ila tu nai mpaka pale tutakapogundua mambo yafuatayo:-
1.      Amri hizo za mungu ni zipi?na ni ngapi?
2.      Amri hizo za mungu ni za muhimu mpaka sasa?(kizazi hiki)
3.      Amri hizo za mungu,kila mtu anapaswa kuzijua na kuzitii? Na anwajibishwa kwa kutozifahamu au kuzivunja? Kwa hayo na yanayotokana na hayo ndiyo lengo la waraka huu.mungu akubariki uanaposoma Neno Lake.
AMRI ZA MUNGU NI ZIPI NANI NGAPI?
1.      Usiwe na miungu mingine ila mimi.KUTOKA 20:3
2.      Usijifanyie sanamu ya kuchonga,wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni,wala kilicho chini duniani,wala kilich majini chini ya dunia.usivisujudie wala kuvitumikia;kwa kuwa  mimi ,BWANA Mungu wako ni Mungu mwenye wivu;nawapatiliza wana maovu ya baba zao,hata kizazi cha tatu na cha nne chawanichukiao,name nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu.KUTOKA 20:4-6
3.      Usilitaje bure jina la BWANA,Mungu wako maana BWANA hata mhesabia kuwa hana hatia mtu alitajae jina lake bure.KUTOKA 20:7
4.      Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.Kwa siku sita utafanya kazi zako zote, lakini siku ya saba ni Sabato kwa BWANA Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi yo yote, wewe wala mwana wako au binti yako, wala mtumishi wako wa kiume au wa kike wala wanyama wako, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.Kwa kuwa kwa siku sita, BWANA aliumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo ndani yake, lakini akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo BWANA akaibariki siku ya Sabato na kuifanya takatifu.KUTUKA 20:8-11.Katika  amri ya nne,tunaagizwa  kuitunza sabato.
SABATO NI SIKU IPI?
Biblia inatuambia kuwa sabato ni siku ya saba katika wiki.biblia inasema :-
“Baada ya siku ya sabato, maria Magdalena, salome na maria mama yake yakobo walinunua manukato ili waupake mwili wa yesu .basi alfajiri na mapema siku ya jumapili,walifika kaburini,jua lilipoanza kuchomoza”.
MARKO 16:1-2(BIBLIA-HABARI NJEMA, KISWAHILI CHA KISASA)
Hivyo hapo na habari ya ufufuko wa Yesu,tunaona kuwa alifufuka jumapili amboyo ndiyo siku ya kwanza  ya juma  soma MATHAYO 28:1
Ø  Pia biblia inatuonyesha siku ya kifo chake,ilikuwa ijumaa ambayo ndiyo maandalio ya sabato.
“Siku hiyo ilikuwa ijumaa,na maandalio ya siku ya sabato yalikuwa yanaanza .wale wanawake  walioandamana na yesu kutoka  Galilaya walimfuata Yosefu, wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa .Halafu wakarudi nyumbani,wakayatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu .Siku ya sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria”LUKA 23:54-56
(BIBLIA TOLEO LA HABARI NJEMA KISWAHILI CHA KISASA)
Kwahiyo tunaona kuwa sabato siyo ijumaa wala Jumapili bali ni Jumamosi
5. Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa   BWANA Mungu wako.KUTOKA 20:12
6. Usiue. KUTOKA 20:13
7. Usizini. KUTOKA 20:14
8. Usiibe. KUTOKA 20:15
9. Usitoe ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yako. KUTOKA 20:16
10. Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ng’ombe wake au punda wake wala cho chote kile alicho nacho jirani yako. KUTOKA 20:3-17, KUMBUKUMBU LA TORATI 5:7-21
Ø  Amri za Mungu ni za muhimu kwa Nyakati zote na vizazi vyote.Yesu anatoa agizo hili juu ya umuhimu wa amri za Mungu:-
“……………………….lakini ukitaka kuingia katika uzima zishike amri MATHAYO 19:17
“Msidhani kwamba nimekuja kuondoa Torati au Manabii, sikuja kuondoa bali kutimiza.Kwa maana,amin, nawaambia, mpaka mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata herufi moja ndogo wala nukta itakayopotea kwa namna yo yote kutoka kwenye Torati mpaka kila kitu kiwe kimetimia. Kwa hiyo, ye yote atakayevunja mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri hizi, naye akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni, lakini ye yote azitendaye na kuzifundisha hizi amri ataitwa mkuu katika Ufalme ya Mbinguni.Kwa maana nawaambia, haki yenu isipozidi haki ya waandishi wa sheria na Mafarisayo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni”.MATHAYO 5:17-19
Ø  Watu wengi leo ,hutoa udhuru wa kuzishika Amri kumi za Mungu,kwa madai ya kumwamini na kumpenda Yesu.Husema “Ukimwamini Yesu tu,inatosha,hakuna haja ya kuzishika amri”.je, udhuru huo Yesu aliukubali katika maandiko matakatifu?
Yesu mwenyewe alisema;-
Mkizishika amri Zangu mtakaa katika pendo Langu, kama Mimi nilivyozishika amri za Baba Yangu na kukaa katika pendo Lake.”YOHANA 15:10
“Kama mnanipenda, mtazishika amri Zangu.”YOHANA 14:15
Kwa kuwa huu ndio upendo wa Mungu, kwamba tuzitii amri Zake. Nazo amri Zake si nzito”.1YOHANA 5:3
Ø  Je amri za Mungu kila mtu anapaswa kuzijua na kuzishika? Au kwa ajili ya watu Fulani tu,au dhehebu Fulani tu?
Biblia Inasema:-
“Hii ndiyo ya maneno ;yote yamekwesha sikiwa,mche mche Mungu, nawe uzishike amri zake maana kwa jumla ndiyo impasavyo mtu “MHUBIRI 12:13
Hivyo tunaona kuwa biblia inasema kuzishika amri za mungu kunampasa kila mtu yeyote anayejifahamu kuwa yeye ni mtu ‘ anapaswa kuzishika amri za mungu. Hata kama mtu angesema’Mima nampenda mungu’ au mimi nimeokoka; kama bado hataki kuzishika Amri za mungu ;madai yake huyo hayaungwi mkono na Biblia kwan maandiko yanasema”
Wokovu u mbali na wasio haki’ kwa maana hawajifunzi amri zako ZABURI 119:115
‘’Umewakataa wote wazikosao amri zako ,kwa maana hila zao ni uongo’’ZABURI 119:118
‘’Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye ikiwa tunashika amri zake.Yeye asemaye nimemjua ,wala hazishiki amri zake,ni uongo wala wala kweli haimo ndani yake’’YOHANA2:34.MITHALI28:9
Ø  Kwa hiyo hapana maandiko yatwambia kuwa,kutozitii amri za mungu nab ado huku tukijiita wakristo,Watu wa mungu Wanaompenda Mungu ,Walio okoka, Washika ibada na majina mengine kama hayo ya kujisifia uumini Huku tunapinga na kuvunja amri za mungu Maandiko yanasema watu wa namna hiyo ni ‘’WAONGO’’NA tunajua kuwa mwongo hawezi kwenda mbingni (soma ufunuo 21;8,22;15)Maana uongo bado ni uvunjaji wa amri ya tisa (KUTOKA 20;16)Katika amri kumi za MUNGU                                            
Wengi wamefundishwa kuzishika amri baadhi na zingine kuziacha,na kutoa mafundisho kuwa eti hizi hazituhusu,maana ziliondolewa na yesu pale msalabani n.k kwa mfano,amri ya pili inayokataza ibada ya sanamu (KUTOKA 20:4-6)NA amri ya nne inayo waigiza watu waitunze sabato siku ya saba ya juma (KUTOKA 20:8-11)amri hizi zimevunjwa wazi na kuondolewa na watu mamilion wanafundishwa na viongozi wao wa makanisa kuwa amri hizo kwa sasa haziwahusu.Huu ni mpango mkuu wa Yule adui (SHETANI)kuwafanya watu wamwasi Mungu kwa kuzivunja amri zake.                         
BIBLIA YENYEWE ANATOA ANGALIZO HILI:-                                                  
“Maana mtu awe yote atakaye shika sheria yote ila akajikwaa katika neon moja amekosa juu ya yote kwa maana yeye alisema,usizini,pia alisema usiue.Basi ijapokuwa hakuzini lakini umeua umekuwa mvunja sheria. Semeni ninyi na kutenda kama watu watakao hukumiwa kwa sheria ya uhuru’’YAKOBO 2:10-12, SOMA PIA, MATHAYO 5:19      
Kwa  nini watu wengi wachague kuvunja amri za mungu na hali ya kuwa amri ziko wazi katika neon lake –maandiko matakatifu.?                       
Biblia ainatoa sababu ya uvunjaj I wa sheria hizo za mungu kauli ya yesu iliyo sema:-   
Akawambia ,isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki kama ilivyo andikwa,watu hawa huniheshimu kwa midomo ,ila mioyo iko mbali name:Nao waniabudu bure wakifundisha mafundisho yalio maagizo ya wanadamu.       
Ninyimwaiacha amri ya mungu na kuyasniks mapokeo ya wanadamu .Akawaambia vema mwaikataa amri ya mungu mpate kuyashika mapokeo yenu’’ MARKO 7:6-9
Ø  Biblia inatwambia sababu ya wengi kuvunja amri za mungu ni mapokeo ya wazee(VIONGOZI)wengi leo wanafundishwa mapokeo ya wanadamu na kuyatii kwa uaminifu kuliko amri za mungu ,hata kama mapokeo hayo hawayapatii ushindi wa maandiko hutetea kwa msimamo mkali wa kulinda itikadi za madhehebu kwa hiyo Miongozo,kanuni,katiba,desturi na heshima kwa viongozi wanadamu vimechukua nafasi kuliko maandiko matakatifu yaliyo neon laMungu.   
Ø  Ndugu msomaji mpaka haoa utakuwa umegundua umuhimu wa kuzijua na kuzitii amri kumi za mungu amua kuishi kulingana na matakwa ya mungu katika amri zake. Kwani kuna mbaraka mkubwa katika kuzishika amri maana Neno la MUNGU lasema,   
“Aishikaye amri hatajua neon baya na moyo wa mwenye hekima hujua wakati na hukumu MHUBIRI 8:5         
Ø  Tena watu wa mungu waaminifu watatambuliwa tu kwa kuzishika amri za mungu na si vinginevyo hivi ndivyo neon la Mungu linavyothibitisha kwa kusema    
   ’’Na waende kwa sheria na ushuda ikiwa hawasemi sawasawa na neon hili bila shaka kwa hao hapana asubuhi  ASAYA 8:20             
 ’’Hapa ndipo penye subira ya watakatifu hao wazishikao amri za Mungu na imani ya Yesu’’UFUNUO 14:12                      
                                      HITIMISHO  
Katika kuzishika amri za  Mungu ,mwanadamu anaweza kuishi kwanzo.Ndivyo nenola mungu linavyosema ,    
“Naye akanifundisha ,akaniambia ,moyo wako uyahifadhi maneno yangu shika amri zangu ukaishi”  MITHALI 4:4        
“ Nikawapa amri zangu na kuwaonyesha hukumu zangu ambazo mwanadamu ataishi kwazo. Kama akizitenda” EZEKIEL 20:11      
“Naye akaandika juu ya mbao mfano ya maandiko ya kwanza zile amri kumi alizo waambia bwana huko mlimani toka kati ya moto siku ya mkutano ; Bwana akanipa”KUMBUKUMBU LA  TORATI  10:4   
“Bali agano hili ndilo natakalo fanya na nyumba ya Israeli,baada ya siku zile,asema Bwana;nitatia sheria yangu ndani yao na katika mioyo yao nitaiandika;name nitakuwa Mungu wao,nao watakuwa watu wangu.”YEREMIA 31:33
“Mwanangu, shika maneno yangu na kuyahifadhi maagizo yangu ndani yako.Shika maagizo yangu nawe utaishi, linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako. Yafunge katika vidole vyako,yaandike katika kibao cha moyo wako.”MITHALI 7:1-3

MWILI WA ASILI CHANZO CHA UTUMWA WA DHAMBI!


Image result for sin
 MWILI WA ASILI CHANZO CHA UTUMWA WA
DHAMBI!
__________________________
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa!
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo
juu,tuchangie kuangalia mojawapo ya sifa za
mwili wa asili ambacho ndicho chanzo cha
utumwa wa dhambi!
Paulo asema:«Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa
kwanza, Adamu, akawa nafsi iliyo hai; Adamu
wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.Lakini
hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili;
baadaye huja ule wa roho.Mtu wa kwanza
atoka katika nchi, ni wa udongo. Mtu wa pili
atoka mbinguni.Kama alivyo yeye wa udongo,
ndivyo walivyo walio wa udongo; na kama
alivyo yeye wa mbinguni, ndivyo walivyo walio
wa mbinguni.Na kama tulivyoichukua sura
yake yule wa udongo, kadhalika tutaichukua
sura yake yeye aliye wa mbinguni.»1Kori
ntho15:45-49
Kakika mafungu haya tunaona akina Adamu
wa wili(Adamu wa Edeni na Adamu wa
mbingu)
*Adamu wa Edeni ni wa udongo,
*Adamu wa Mbinguni ni wa Roho,
★Anasema kuwa wote kwa kuazliwa
tulichukuwa asili ya baba yetu wa dunia,ila
kwa neema ya damu ya Yesu twaweza kuingia
katika muunganiko wa kuchukua asili ya
Adamu wa mbinguni!
Wapendwa baada ya dhambi kuingia
ulimwenguni,mwanadamu alijiunga na adui
wa Mungu kupinga makusudi ya mbingu,na
kadri alivyo kuwa na kuimarika katika asili
hiyo,aliendelea kuwa mbali na Mungu na
kuvumbua uasi mpya!!
Soma hapa:«Baada ya dhambi,sheteni
hakupumzika aliazimia atakao waangusha
kama yy alivyoanguka.Kama alivyowadangany
a malaika ili wamgomee Mungu ndivyo
alivyomshawishi Adamu(wa udongo) kukiuka
(violer) sheria ya Mungu.Hivyo Adamu akaasi
kama Lucifer.Zaidi ya hayo Shetani na Adamu
wakawa marafiki,na wakajipanga kushambulia
mbingu kwa pamoja!»GC chap30 uk503
Nasi tukazaliwa na huyo huyo na kwa asili
tukawa tu maadui wa mapenzi ya Mungu na
tukawa hatuna nguvu ya kutenda mema na
ndiyo sababu mnaona huwa :udokozi,wizi,k
utukana,kukasirika,kulipiza kisasi,kuzini,nk
hayo hayafundishwi bali ni asili ya kila
mwanadamu!!!!!!
Paulo asema:«Kwa hiyo, kama kwa mtu
mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa
dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia
watu wote kwa sababu wote wamefanya
dhambi»Rumi5:12
Kwa sababu hizo ndani yetu kupitia Adamu
tulipoteza uwezo wa kutii sheria ya Mungu,
(Rumi8:7) na hicho ndicho chanzo cha wengi
hawawezi kutulia ndani ya Haki ya Mungu!
Yesu alisema:«Yesu akawajibu, Amin, amin,
nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa
wa dhambi.Wala mtumwa hakai nyumbani
sikuzote; mwana hukaa sikuzote.Basi Mwana
akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli
kweli»Yohana8:34-
Hiyo ndiyo sababu unaona wengi hujidai_,oh
mimi ni mtumishi,oh mimi nineokoka
oh...kama mafarisayo walivyomjibu
Yesu,wakisema kuwa wao si watumwa wa
mtu,kwa usemi mwingine walimwambia sisi
tumeokoka Yesu, # swali la kujiuliza ni“mimi
nimtumwa au niko huru?”
# Kuwa huru nje ya dhambi,siyo kuwa:
*mhubiri,*mchungaji,*

mwinjilisti,*mzee wa
kanisa nk ni zaidi ya hayo!!
Maana mmekuwa mkishuhudia ninyi wenyewe
wenye vyeo hivyo lakini,wakiwa bado
wanalawiti wafanyakazi wao,kutembea nje ya
ndoa,wengine kupata ukimwi nje ya
ndoa,kusuka nywele,kuklimu,vimini,suluale
kwa wana-mama nk(Je kweli hawa
wameokoka?)
WAPI NIPATE MSAADA WA KUNIPONYA?
____________________________
Paul alipokuwa bado ni mtumwa aliguswa na
hali ya Kimungu hivyo akalia akisema:«Ole
wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa
na mwili huu wa mauti?»Rumi7:24
Yesu alijibu na kuwaita wote waliojikuta ktk
hali hiyo akisema:"Njooni kwangu ninyi
nyote»Mathayo11:28
Hapa aliahidi kukupa nguvu na uwezo,uwezo
ule ulioupoteza ktk Adamu wa udongo
utaupokea ktk Adamu wa Roho kwa njia ya
imani!
Yesu asema:«Bali wote waliompokea aliwapa
uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio
wale waliaminio jina lake»Yoh1:12
Ombi:Katika jina la Yedu na kupitia damu
yenye nguvu ya Kalvary,pokea nguvu,na uwezo
ili kushinda mwili wa asili,Kristo aanzishe vita
ndani yako akishindana na utu wa kale,ili
akupe nguvu za kuishi utu upya na kudumu
ktk Uhuru nje ya Dhambi»
Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda
niwaamuruyo»Yoh15 :14

SIRI YA USHINDI.

SIRI YA USHINDI.


"Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu."

Ndugu wapendwa Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi!

Ushindi ni hatua inayopatikana baada ya mapambano,vita,mikikimikiki katika swala fulani,nk;na Mara zote aliyeshinda katika swala fulani lazima awe na siri fulani,iliyokuwa tegemeo lake!
Japo katika maisha haya kuna mategemeo mengi,wengine wakitumainia nguvu zao,wengine nguvu za giza,n.k, lakini katika hayo yote ni ushindi wa kitambo tu,ushindi huo unafurahiwa muda ,na muda baadae ni huzuni!

Mfano atokee mtu awe tajiri katika Mali za dunia,miaka kadhaa,kisha mwisho wa siku awe masikini wa kuomba-omba,bila shaka huyu mtu atakuwa Mwenye huzuni saana!

Katika somo letu tujaribu kuangaza wale watakosifiwa mbinguni kuwa washindi, nini kilichowapa ushindi huo udumuo siku zote?

Karibuni

Tuangaze kwanza vita waliyokabiliana nayo,ndipo tuweze kuona pia nini kilichowasaidia kupata ushindi huo!

a) "Mungu aliruzuku nuru kubwa kwa watu wake,lakini hatuko chini ya kivuli cha kutokutenda dhambi"CH 586

Kwa fungu hilo hapo juu twaona kuwa Pamoja na Nuru tuliyopewa,haituweki mahali tusipoweza kujaribiwa na ibilisi,kumbe kwa mantiki hiyo,tuko mapambanoni, yatuupasa tushinde!

b) "Moja ya mitego mahususi ya Shetani,ili kuwashinda watu wa Mungu,ni kubomoa mageti yanayowatenga na dunia"DA398 Soma Zaburi pia 11:3 "Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?" Ieleweke kuwa Shetani kazi yake nyingine ni kukata matawi ya matumaini tulioegemea,na matokeo anakusudia tuangukie duniani(mitegoni mwake)

c) "...Hivyo Lusifa huongeza juhudi Maradufu katika mbinu za kutaka kukwamisha kazi ya upatanisho.Anakusudia kushikilia roho katika giza na kutokutubu mpaka huduma ya Ukuhani wa Kristo imalizike na pale patakapokuwa hakuna kafara tena kwa ajili ya dhambi;hilo ndilo kusudi lake"GC518.1 
Cha kushangaza,wale waliodumu dhambini,Kristo atakapo kuwa amemaliza kutia muhuri,Shetani kwa kebehi na kejeli kubwa atuambia hao "Nendeni nanyi mkajiaandae Mwokozi wenu anakuja"!!!!! Ni huzuni kiasi gani??? Fananisha na Mathayo 25 (wanawali wapumbavu)

d) "Kwa kadiri tufani ikaribiavyo, watu waliojidai kuwa waumini katika ujumbe wa malaika wa tatu, lakini hawakutakaswa kwa ile kweli, watauacha uamini wao na kujiunga na upande wa upinzani."Pambano Kuu 196— ni shambulio la kikomando,kwamba wewe uwe muumini ktk kundi lolote LA kidini,lakini ibilisi akikufanya usienende sawasawa na ukweli,anajua utakuwa wake,haijalishi leo unamshambulia kiasi gani!

Bila shaka kwa hayo,hatuna mbinu ya kushinda,isipokuwa kwa nguvu za asiyeshindwa kamwe(Kristo simba wa shina la Yese)

USHINDI U KATIKA UWEZA WA DAMU YA KRISTO.


"Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;" Yohana1:12. 
Kwa kauli hii ya Yesu,yaonyesha kuwa wote tutakaomuamini,atatuwezesha kuingia katika utii sawa na malaika wa mbinguni!!! Ni shangwe iliyo je! Hallelujah

"Hivyo husema, Alipopaa juu aliteka mateka, Akawapa wanadamu vipawa." Efeso4:8

Kwa kushinda kwake tulipata uwezo wa kushinda pia,katika  yeye tu makomando wa vita,yeye akiwa amiri-jeshi,tutateka ngome za shetani na kuziangusha na baada ya hapo tutaitwa washindi hodari wa vita!

MAADUI  WA MUNGU NA NGOME ZA KUANGUSHWA.

"Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami." 
Waweza kuwa mwanafunzi machachali wa Kristo kama Petrol,lakini utashangaa kuambiwa"toka nyuma yangu eee shetani" 
Ni kwakuweka roho yako mbali na Kristo ndivyo unavyojiweka katika uadui na Kristo, haijalishi mwili na Mali zako ziko kanisani!

"Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;)tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;"2 Korintho5:3-5

Nawatakieni tafakari njema na kuamua Kristo afanye vita ndani yetu aangushe tamaa za uzinzi,ugomvi,ubinafsi,kiburi ili Sura ya chapa ya Tabia ya Uungu ionekane ndani yetu!!

Few of many more Benefits of Eucalyptus Oil Soap

https://www.treemories.com/wp-content/uploads/Eucalyptus-branch.jpg

📚Few of many more Benefits of Eucalyptus Oil Soap📚

⚫Eucalyptus soap is either a liquid or bar soap made with
eucalyptus oil. The soap is usually organic or all-natural, as
is the oils used. Eucalyptus oil has many soothing and
healing properties for the skin.
History of Eucalyptus Oil
⚫Eucalyptus oil has been used for centuries as a natural
remedy for various ailments.
Eucalyptus oil originated in Australia and Tasmania .
⚫The oil has been widely used by the Aborigines to treat
wounds, soothe skin irritation, repel bugs, and for
various other reasons.
⚫Eucalyptus can now be found in Europe, China, Russia,
South America, and California in the United States.
Eucalyptus oil has a long history among the aboriginal
population of Australia. It has been used for centuries and
thanks to the many proven properties, the trees are now
cultivated and grown in other parts of the world.
⚫Eucalyptus oil is derived from the top branches and leaves
of the eucalyptus tree. In Australia it is also referred to as
Australian fever tree or blue gum tree. Eucalyptus trees and
its oils have been used for centuries by the Aborigines,
owing to its many topical applications and medicinal
treating respiratory problems and mental exhaustion.

14 Ways Eucalyptus Oil can
Improve your Health

⚫Eucalyptus oil is a common ingredient in treatments for
respiratory problems and congestion. It is antimicrobial,
antifungal, antibacterial, antiviral, and anti-
inflammatory.
⚫The oil is used to treat 👉colds,
👉asthma,
👉sinus problems,
👉 nasal congestion,
👉 coughs, and runny
noses.
👉Due to its powerful scent, eucalyptus oil is used to help
relieve mental exhaustion,
👉as well as to boost blood
flow to the brain,
👉 increasing mental activity.
⚫The oil is a natural pesticide and bug-repellent and has
been used to eliminate lice instead of chemical
solutions that can be toxic and absorbed through the
skin.
⚫The oil is used to treat minor skin wounds, thanks to its
antiseptic properties;
👉 it can heal burns,
👉ulcers,
👉abrasions,
👉sores,
👉and cuts.
👉It soothes bug bites and stings.
👉Due to its anti-inflammatory and analgesic properties,
⚫eucalyptus oil is a common ingredient in topical pain
relievers:
👉it reduces muscle tension, 👉inflammation, and
👉soreness due to exercise, 👉overexertion,
👉germicidal
qualities and deodorizer.
⚫Eucalyptus oil is also a common ingredient in
👉toothpaste and mouthwashes.
👉 Its germicidal qualities
help with cavities,
👉 gingivitis,
👉 and plaque on teeth.
👉When combined with peppermint oil and sprayed on
the body, eucalyptus oil works as an effective fever
reducer.
⚫Eucalyptus oil also kills germs in the air and has a
powerful scent, making for an effective room
deodorizer.
⚫The oil acts as a vasodilator (it opens blood vessels).
It has been used for centuries to increase circulation—
both topically and when ingested.
⚫The oil is beneficial to: 👉diabetics for treating very poor
blood circulation in their extremities.
👉It also helps reduce blood sugar when the oil has been
used to treat parasites in the intestinal tract,
👉 as well as
microbial and bacterial infections.
⚫Eucalyptus oil has become popular in aromatherapy
because of its various properties and the fact that it
blends well with more common oils.
There are a myriad other uses for eucalyptus oil soap as
well. For example, the oil can be used topically and
ingested to treat many health issues.
👉 Scientists continue to
study this amazing oil and it is fast becoming a popular
ingredient in soap.
⚫Eucalyptus Oil in Soaps:
👉Antibacterial and
👉 antifungal properties due to its many
topical benefits,
👉eucalyptus oil is finally making its way into
natural soap.
👉Eucalyptus oil has a strong but pleasant scent
that combines well with other essential oils; a classic
example of this is Irish Spring soap.
It is not considered a feminine scent, so it works well for
men.
👉 Its analgesic qualities can soothe muscle pain and
soreness, so it’s perfect for a post-workout shower or bath.
👉The oil can help soothe pain, itching of rashes and other
skin irritations.
👉Inhaling the oils in eucalyptus soap can help loosen
congestion,
👉ease coughs,
👉help treat mild asthma,
👉and sinus
problems.
⚫ Eucalyptus oil can also be blended with other
common essential oils used in soap-making, adding to the
aromatherapy benefits of soaps like Irish soap.
⚫In addition to that, washing minor cuts, abrasions, and
burns can heal quickly, thanks to the antimicrobial,
antibacterial, and antifungal properties of eucalyptus oil in
soaps. In a liquid soap or shampoo, eucalyptus is great to
help deter lice, thanks to its natural pesticide qualities.
👉It
also works well on dandruff.
👉Eucalyptus oil has many healing and medicinal properties
that make it an ideal addition to organic and all-natural
soaps.
👉 When combined with other oils, its powerful scent is
reduced but still remains capable of acting as a deodorant.
👉It’s the perfect scent for guys who care about their skin.
So grab yourself a Eucalyptus bar today!

EUCALYPTUS(MKARATUSI)

EUCALYPTUS(MKARATUSI) https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/4/4c/Eucalyptus_tereticornis_flowers,_capsules,_buds_and_foliage.jpeg

Excellent against braichial afflictions
Nitiba nzuri dhidi ya matatizo ya njia ya hewa .
Katika karne ya kumi na tisa,mmea huu wa mkaratusi uliletwa kutoka ulaya na Amerika kutoka australia na Tasminia pale unapokuwa unafika kimo cha mita 100. Mmea huu ni miongoni mwa  miti mirefu maarufu, mifano ya miti inayofika kimo cha mita 180.
Mmea huu hukua haraka haraka sana na kufyonza maji  kw kiwango kikubwa kiasi cha kuweza kukausha maji na kureta ukame kwenye ardhi na kuzuia mbu aina ya anophereles asambazaye malaria

SIFA NA VIWANGO VILIVYOMO KWENYE MKARATUSI

Mti huu una vitu kama tannin resin fatty acid vingine ni kama cyneol au eucalyptol,terrene hydrocorborns,pynene na alymphatic na sesquiterpene alcohol s.
            Mkaratusi huu unaonekana kukidhi kwa kiwango kikubwa kushughurika hasa matatizo ya njia ya mfumo wa upumuaji kama pumu(arthma) pia tatizo la muda  au kudumu katika mkondo wa kupumua.
            Mkaratusi inasaidia kuzalisha seli za mwili zilizo adhirika pia inatuliza kikohozi cha kukohoa
            Mkaa wake hutumika kutibu vyakula vilivyo na sumu au uyoga  wenye sumu,kuharisha,minyoo ya tumboni ,chakula kilicho chacha tumboni na kushindwa kusagwa ,kilungulila pia na sumu ya nyoka.
MAANDALIZI NA MATUMIZI

Kushughulika ndani ya mwili
Chuma majani yake ya kutosha wastani (20-30g) uyatwangwe mpaka yalainike kisha weka kikombe cha maji uache huo mchanganyiko utulie kwa dakika kumi ndani ya chombo kizuri kama vile jagi kubwa lenye mfuniko na ufunike na mfuniko kwa dakika kumi kisha chuja vizuri upate maji yake yaani juice ya mkaratusi.

MATUMIZI

Ø  Kunywa vikombe vitatu kwa kutwa yaani 3X1 ukichanganya na asali.
Ø  Hushughulika hata nje ya mwili mvuke wake husaidia kutibu mtu aliyebanwa na kifua pia na kichwa kuuma.
c                                        
                                                         EMAIL >jifunzebibliazaidi@gmail.com

BEWARE WHEN YOU NOTICE ALL THESE IN YOUR LIFE

BEWARE WHEN YOU NOTICE ALL THESE IN YOUR LIFEImage result for beware
1. Beware When prayer becomes a difficult thing for you.
2. Beware When fasting is becoming a history in your spiritual timetable.
3. Beware When you no longer enjoy reading the word of God.
4. Beware When attending church programme is becoming a burden rather than a blessing for you.
5. Beware When living a life of holiness is appearing like extremism.
6. Beware When sinful living becomes a lifestyle in the name of grace.
7. Beware When you crave for earthly things rather than the things of God.
8. Beware When waking up in the night to pray is becoming a thing of the past.
9. Beware brethren, when your heart no longer desires to see the Lord Jesus one day.
10. Beware when you eat more than you pray
11. Beware when you no longer share the word with others.
12. Beware When u start diluting the preaching Word of God to keep people around you.
13.  Beware When you spend more time on Facebook, whatsapp, twitter, and internet. These things become idols and take the place of God.
14. Beware When you ignore messages such as these.
Beware of all these, brethren. Satan isn't resting. We too must be vigilant.
Lets prepare, Jesus is coming soon to take those who are eagerly waiting for him.
  PLEASE DON'T LET SHARING THIS BECOME A BURDEN
LET US ALL BE CONSCIOUS OF THE LAST DAYS.
© Copyright JIFUNZE MAANDIKO | Designed By Tandy boy
Back To Top